Severity: Warning
Message: fopen(/var/cpanel/php/sessions/ea-php80/ci_sessionc8b6bee20c20723503022a6585a0a958b985fad0): Failed to open stream: No space left on device
Filename: drivers/Session_files_driver.php
Line Number: 176
Backtrace:
File: /home/court/public_html/web/application/controllers/Posts.php
Line: 23
Function: __construct
File: /home/court/public_html/web/index.php
Line: 315
Function: require_once
Severity: Warning
Message: session_start(): Failed to read session data: user (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php80)
Filename: Session/Session.php
Line Number: 143
Backtrace:
File: /home/court/public_html/web/application/controllers/Posts.php
Line: 23
Function: __construct
File: /home/court/public_html/web/index.php
Line: 315
Function: require_once
Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz
HABARI
Mhe Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Khamis Ramadhan Abdalla amewataka wafanyakazi wa Mahkama kuwahudumikia Wananchi wanaokuja Mahkamani kupata huduma kwa kutumia lugha nzuri na kuwafahamisha taratibu zote za kimahkama kwa uwazi kabisa bila ya upendeleo wowote ule.
Hayo aliyasema kwenye ziara zake za kuzitembelea Mahkama za Unguja ili kujionea utendaji kazi wa Mahkama hizo na kusikiliza changamoto na kuzipatia ufumbuzi.
Aidha Mhe Jaji Mkuu amewaagiza Mahakimu dhamana wa Vituo hivyo kutenga siku Maalumu kwa Ajili ya kusikiliza Malalamiko kwa wananchi na kuyatafutia ufumbuzi.
Kwa upande wake Mrajis wa Mahkama Kuu Mhe Valentina A. Katema aliwapongeza wafanyakazi wa Mahkama hizo kwa kazi nzuri wanazozifanya.
Aidha Mhe Mrajis aliwataka wafanyakazi wa Mahkama kuhakikisha kuwa hati za wito wa Mahkama zinatolewa Mapema ili kuwafikia wahusika mapema.
Nao wafanyakazi wa Mahkama hizo wakieleza changamoto zinazowakabili walisema wanakabiliwa na uchache wa wafanyakazi kwenye vituo vyao vya kazi na ufinyu wa nafasi katika Majengo ya Mahkama.
Kwa upande mwengine Mhe Jaji Mkuu wa Zanzibar amekabidhi Magari Mapya kwa Majaji Watatu na Kadhi Mkuu akizigumza wakati wa makabidhiano hayo Mhe Jaji Mkuu aliishukuru Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuwapatia Magari hayo ili kuondoa changamoto ya Usafiri kwa watumishi wa Mahkama.
Nae Mhe Kadhi Mkuu wa Zanzibar kwa niaba ya wahesimiwa Majaji alishukuru kwa kupatiwa Magari hayo na kuhakikisha kuwa watayatunza katika kipindi chote cha utumishi wao.High Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed
High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed