Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz

THE JUDICIARY OF ZANZIBAR

News & Events

JAJI MKUU WA ZANZIBAR AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA MAUL...

Jaji Mkuu wa Zanzibar  Mhe Khamis Ramadhan Abdalla amewataka Makadhi na maulamaa kusimamia haki na maadili katika usikilizaji wa mashauri katika Mahkama pamoja na kutumia  vizuri uhuru wao katika suala zima la utoaji wa haki kwa wananchi.…...Read More

JAJI MKUU ATEMBELEA ENEO LA JITIMAI...

 

Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis  Ramadhan Abdalla ameitaka Jumuiya ya Fisabililah Tabligh Markaz  kuitumia nafasi ya uwepo wa  Ijitmai   kuwaelimisha Jamii  juu ya umuhimu wa   kuzilea ndoa zao katika misingi bora…...Read More

JAJI MKUU AFUNGA KIKAO KAZI BAINA YA MFUKO WA FIDIA ...

Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla  amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimekuwa mstari wa mbele katika kuziimarisha na kuzijengea uwezo Mahakama  pamoja na vyombo vyote vya…...Read More

JAJI MKUU WA ZANZIBAR ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MAKATAB...


Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amesema Mahkama ya Zanzibar itaendelea kuboresha Mazingira bora ya kazi kwa Utumishi wake ili kuhakikisha wanatekeleza Majukumu yako kwa Ufanishi zaidi.

Read More

JAJI MKUU ASAINI MUONGOZO WA KUKUSANYA MALI ZINAZOPAT...

Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amesani muongozo wa kutaifisha mali zilizopatikana kwa njia ya uhalifu, ambao utatumiwa na Majaji Pamoja na Mahakimu wakati wanaposikiliza kesi . Hafla hiyo imefanyika leo tarehe 21/05/2024 huko Tunguu wilaya…...Read More

123

Unguja

High Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed

Pemba

High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed