Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimekuwa mstari wa mbele katika kuziimarisha na kuzijengea uwezo Mahakama pamoja na vyombo vyote vya…...Read More
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amesema Mahkama ya Zanzibar itaendelea kuboresha Mazingira bora ya kazi kwa Utumishi wake ili kuhakikisha wanatekeleza Majukumu yako kwa Ufanishi zaidi.
Read More
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka Mawakili wa Serikali pamoja wa kujitegemea kuwa na mashirikiano Mahkama ili kuweza kutatua changamoto wanazokabiliana nazo kwa lengo la kuhakikisha kuwa haki kwa wananchi zinapatikana bila upendeleo wa…...Read More
Sekretariet ya Tume ya Utumishi wa Mahakama Zanzibar imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano baada ya kukukutana na Sekretariet ya Tume ya Utumishi wa Mahkama ya Tanzania kwa lengo la kufahamiana na kubadilishana uzoefu wa kazi katika masuala ya…...Read More
High Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed
High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed