Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz

THE JUDICIARY OF ZANZIBAR

News & Events

JAJI MKUU AFUNGA KIKAO KAZI BAINA YA MFUKO WA FIDIA ...

Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla  amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimekuwa mstari wa mbele katika kuziimarisha na kuzijengea uwezo Mahakama  pamoja na vyombo vyote vya…...Read More

JAJI MKUU WA ZANZIBAR ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MAKATAB...


Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amesema Mahkama ya Zanzibar itaendelea kuboresha Mazingira bora ya kazi kwa Utumishi wake ili kuhakikisha wanatekeleza Majukumu yako kwa Ufanishi zaidi.

Read More

JAJI MKUU ASAINI MUONGOZO WA KUKUSANYA MALI ZINAZOPAT...

Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amesani muongozo wa kutaifisha mali zilizopatikana kwa njia ya uhalifu, ambao utatumiwa na Majaji Pamoja na Mahakimu wakati wanaposikiliza kesi . Hafla hiyo imefanyika leo tarehe 21/05/2024 huko Tunguu wilaya…...Read More

KIKAO CHA MAHKMA NA MAWAKILI WA SERIKALI NA WAKUJITEGEM...

Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka Mawakili wa Serikali pamoja  wa kujitegemea  kuwa na mashirikiano   Mahkama ili kuweza kutatua changamoto   wanazokabiliana nazo kwa  lengo la  kuhakikisha kuwa haki kwa wananchi zinapatikana bila upendeleo wa…...Read More

ZIARA YA TUME YA UTUMISHI WA MAHKAMA TANZANIA...

Sekretariet ya Tume ya Utumishi wa Mahakama Zanzibar imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano baada ya kukukutana na Sekretariet ya Tume ya Utumishi wa Mahkama ya Tanzania kwa lengo la kufahamiana na kubadilishana uzoefu wa kazi katika masuala ya…...Read More

123

Unguja

High Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed

Pemba

High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed