Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka MAKADHI wapya kuwa waadilifu wakati wanapotekeleza Majukumu yao kwa mujibu wa taratibu na sheria za nchi ili kulinda heshima na hadhi ya Mahkama kwa ujumla.
Read More
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Khamis Ramadhan Abdalla amewataka wafanyakazi wa Mahkama Pemba kuhakikisha kuwa wanayafanyia kazi kwa haraka mashauri yanayofikishwa Mahkamani ili kujenga Imani kwa wananchi pale wanapofikisha mashauri yao Mahkamani.
Ameyasema…...Read More
HABARI
Mhe Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Khamis Ramadhan Abdalla amewataka wafanyakazi wa Mahkama kuwahudumikia Wananchi wanaokuja Mahkamani kupata huduma kwa kutumia lugha nzuri na kuwafahamisha taratibu zote za kimahkama kwa uwazi kabisa bila…...Read More
Jumla ya mashauri mapya 5089 yamepokelewa katika mahkama mbali mbali za unguja na pemba katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia jully mpaka september 2022. hayo yalisemwa na mrajisi wa mahkama kuu zanzibar mh valentina a. katema alipokuwa akizungumza na wandishi…...Read More
High Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed
High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed