Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz

THE JUDICIARY OF ZANZIBAR

News & Events

KIKAO CHA KUSUKUMA MBELE MASHAURI YA KESI JINAI....

Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar ambae pia ni Mkuu wa Maboresho Mhe: Ibrahim Mzee Ibrahim akitoa maelezo kuhusiana na Mradi wa ZI- JUMP kwa Wajumbe wa Kikao cha Kamati ya Kusukuma mbele Mashauri ya kesi Jinai  kilichofanyika huko  Tunguu....Read More

JAJI MKUU AGAWA LAPTOP KWA MAHAKIMU NA MAKADHI...

Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka Mahakimu na Makadhi kuzitunza na kuzithamini vitendea kazi walivyopatiwa ili kuhakikisha kazi zinafanyika kwa  ufanisi na kwa  haraka zaidi.

 

 Ameyasema…...Read More

KIKAO CHA MAHKMA NA MAWAKILI WA SERIKALI NA WAKUJITEGEM...

Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka Mawakili wa Serikali pamoja  wa kujitegemea  kuwa na mashirikiano   Mahkama ili kuweza kutatua changamoto   wanazokabiliana nazo kwa  lengo la  kuhakikisha kuwa haki kwa wananchi zinapatikana bila upendeleo wa…...Read More

ZIARA YA TUME YA UTUMISHI WA MAHKAMA TANZANIA...

Sekretariet ya Tume ya Utumishi wa Mahakama Zanzibar imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano baada ya kukukutana na Sekretariet ya Tume ya Utumishi wa Mahkama ya Tanzania kwa lengo la kufahamiana na kubadilishana uzoefu wa kazi katika masuala ya…...Read More

Maafisa wa ubalozi wa Canada ambao wanatoka Afisi ya U...

Tarehe 15.05.2023 wamefanya Ziara kutembelea   Mahakama Kuu Tunguu na kupata fursa kuonana na kuzungumza masuala mbalimbali yanayohusu masuala maombi ya Visa pamoja utoaji wa Vibali mbalimbali vinavyotolewa na Mahkama ya Kadhi Zanzibar kama Hati za ndoa, talaka idhini za kuozesha…...Read More

1234

Unguja

High Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed

Pemba

High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed