Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz
Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar ambae pia ni Mkuu wa Maboresho Mhe: Ibrahim Mzee Ibrahim akitoa maelezo kuhusiana na Mradi wa ZI- JUMP kwa Wajumbe wa Kikao cha Kamati ya Kusukuma mbele Mashauri ya kesi Jinai kilichofanyika huko Tunguu....Read More
Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka Mahakimu na Makadhi kuzitunza na kuzithamini vitendea kazi walivyopatiwa ili kuhakikisha kazi zinafanyika kwa ufanisi na kwa haraka zaidi.
Ameyasema…...Read More
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka Mawakili wa Serikali pamoja wa kujitegemea kuwa na mashirikiano Mahkama ili kuweza kutatua changamoto wanazokabiliana nazo kwa lengo la kuhakikisha kuwa haki kwa wananchi zinapatikana bila upendeleo wa…...Read More
Sekretariet ya Tume ya Utumishi wa Mahakama Zanzibar imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano baada ya kukukutana na Sekretariet ya Tume ya Utumishi wa Mahkama ya Tanzania kwa lengo la kufahamiana na kubadilishana uzoefu wa kazi katika masuala ya…...Read More
Tarehe 15.05.2023 wamefanya Ziara kutembelea Mahakama Kuu Tunguu na kupata fursa kuonana na kuzungumza masuala mbalimbali yanayohusu masuala maombi ya Visa pamoja utoaji wa Vibali mbalimbali vinavyotolewa na Mahkama ya Kadhi Zanzibar kama Hati za ndoa, talaka idhini za kuozesha…...Read More
High Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed
High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed