Severity: Warning
Message: fopen(/var/cpanel/php/sessions/ea-php80/ci_session82d4373b8d2d9dabe2fac20ed77b4eb3d44a848c): Failed to open stream: No space left on device
Filename: drivers/Session_files_driver.php
Line Number: 176
Backtrace:
File: /home/court/public_html/web/application/controllers/Posts.php
Line: 23
Function: __construct
File: /home/court/public_html/web/index.php
Line: 315
Function: require_once
Severity: Warning
Message: session_start(): Failed to read session data: user (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php80)
Filename: Session/Session.php
Line Number: 143
Backtrace:
File: /home/court/public_html/web/application/controllers/Posts.php
Line: 23
Function: __construct
File: /home/court/public_html/web/index.php
Line: 315
Function: require_once
Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka MAKADHI wapya kuwa waadilifu wakati wanapotekeleza Majukumu yao kwa mujibu wa taratibu na sheria za nchi ili kulinda heshima na hadhi ya Mahkama kwa ujumla.
Alimeyasema hayo wakati wa sherehe za kuwaapisha Makadhi wapya wanne zulizofanyika katika ukumbi wa Mahkama kuu Tunguu.
Aidha, Mhe. Jaji Mkuu wa Zanzibar amewaasa Makadhi hao wapya kuzingatia maadili ya Viongozi wa Umma na Maadili ya maofisa wa Mahakama ikiwa ni pamoja na kujaza fomu za tamko la Mali na madeni kwa mujibu wa sheria.
Aliwakumbusha Makadhi hao wapya kuwa wao ni Viongozi wa umma na kwa hivyo hawapasi kuvunja Maadili yanayohusiana na kazi yao.
Vilevile , Mhe Jaji Mkuu aliwakumbusha Makadhi hao kuwa, Mahakama ipo kwenye maboresho hivyo inawapasa na wao waendane na kasi ya Maboresho hayo kwa kusikiliza na kuyatolea maamuzi kwa haraka Mashauri yote yatakayoletwa mbele yao.
kwa upande wake Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman aliwataka Makadhi hao wapya kusimamia viapo kwa kutenda haki na kuzingatia uafilifu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kila siku.
Kwa upande wake, Kadhi Mkuu wa Zanzibar Mhe Hassan Othman Ngwali akitoa salamu zake kwenye ghafla hiyo amawataka Makadhi hao kuwa makini sana wakati wanapowasikiliza wadawa wanaofika mbele yao kwa kuwapa haki sawa ili kuondoa malalamiko yasiyokuwa na uladhima . Makadhi walioapishwa katika HAFLA hiyo ni Sheikh Abdul-azizi Saleh Juma, Sheikh Hemed Saleh Abdalla, Sheikh Ali Juma Machano na Sheikh Taraik Abdalla Kassim
High Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed
High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed