Severity: Warning
Message: fopen(/var/cpanel/php/sessions/ea-php80/ci_session65a2c75a29483f979c9cc4061510e6311c59dad6): Failed to open stream: No space left on device
Filename: drivers/Session_files_driver.php
Line Number: 176
Backtrace:
File: /home/court/public_html/web/application/controllers/Posts.php
Line: 23
Function: __construct
File: /home/court/public_html/web/index.php
Line: 315
Function: require_once
Severity: Warning
Message: session_start(): Failed to read session data: user (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php80)
Filename: Session/Session.php
Line Number: 143
Backtrace:
File: /home/court/public_html/web/application/controllers/Posts.php
Line: 23
Function: __construct
File: /home/court/public_html/web/index.php
Line: 315
Function: require_once
Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Khamis Ramadhan Abdalla amewataka wafanyakazi wa Mahkama Pemba kuhakikisha kuwa wanayafanyia kazi kwa haraka mashauri yanayofikishwa Mahkamani ili kujenga Imani kwa wananchi pale wanapofikisha mashauri yao Mahkamani.
Ameyasema hayo katika ziara yake ya kuzitembelea Mahkama za Pemba na chou cha Mafunzo ili kujionea utendaja kazi wa watendaji wa Mahkama hizo na kusikiliza changamoto zinazowakabili ili kuzipatia ufumbuzi.
Amesema kwa sasa Wananchi wengi wamepoteza Imani na Mahkama kufuatia kucheleweshwa kusikilizwa kwa Kasi zao zinapofikishwa Mahakamani
Aidha Mhe Jaji Mkuu amewataka wanafunzi walikuwepo kwenye vvyo vya mafunzo kukata rufaa ikiwa hawakuridhika na adhabu waliopewa na Mahkama husika ili Mahkama za juu ziweze kuzifanyia kazi rufaa zao, pia Mhe Jaji Mkuu aliwaahidi wanafunzi hao kuwa uongozi wa Mahkama utahakikisha kuwa mienendo ya kesi inapatikana mapema ili kuweza kukata rufaa.
Akizungumza mara baada ya kutambulishwa kwa watendaji wa Mahkama Pemba Mrajis wa Mahkama Kuu Zanzibar Mhe Valentina A. Katema amewasisitiza wafanyakazi kuongeza bidi katika usikilizaji wa Mashauri ili kuondoa usumbufu kwa wananchi na kuondoa Mrundikano wa kesi Mahkamani.
Kwa upande wake Naibu Mrajis wa Mahkama Kuu Pemba Mhe Faraji Juma Shomari alimewataka wafanyakazi wa Mahkama pemba kutoa mashirikiano kwa Mrajis huyo ili kufanikisha kazi zake kwa ufanisi.
Nao wafanyakazi wa Mahkama hizo wameeleza changamoto mbali mbali zinazowakabili ikiwemo uhaba wa vitendea kazi,
Katika ziara hiyo iliyofanyika katika Mkoa wa kusini Pemba jumla ya Mahkama Tatu zilitembelewa ikiwa ni Pamoja na Mahkama Ardhi, Mahkama ya wilaya Mkoani na Mahkama ya Mwazo kengeja na chou cha mafunzo kengeja.
High Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed
High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed