Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz
Katika kuimarisha Mashirikiano baina ya Mahkama ya Zanzibar na Mahkama ya Tanzania wajumbe kutoka Mahkama Kuu Zanzibar, Divisheni ya Biashara, wanafanya ziara ya kubadilishana uzoefu Mahakama Kuu ya Tanzania.
Ziara imelenga kujifunza mifumo mbalimbali ya usimamizi wa mashauri na huduma zinazotolewa mahakamani ili kuboresha utendaji na kurahisisha upatikanaji wa haki kwa wananchi.
wajumbe walipata fursa ya kujionea mifumo mbalimbali, ikiwemo wa usajili wa wateja na kupokea mrejesho kutoka kwao. Mfumo huo uliobuniwa mahakamani hapo, unasaidia kuongeza uwazi na ufanisi katika utoaji wa huduma za kimahakama.
Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Mhe. Muumini Khamis Kombo, aliongoza ujumbe wa watendaji wa Mahkama ya Zanzibar katika ziara hiyo ambapo walitembelea division ya Biashara katika Mahakama ya TanzaniaHigh Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed
High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed