Severity: Warning
Message: fopen(/var/cpanel/php/sessions/ea-php80/ci_session7884318b5a3b742f67ca0cab7f5bccfff7e2a01f): Failed to open stream: No space left on device
Filename: drivers/Session_files_driver.php
Line Number: 176
Backtrace:
File: /home/court/public_html/web/application/controllers/Posts.php
Line: 23
Function: __construct
File: /home/court/public_html/web/index.php
Line: 315
Function: require_once
Severity: Warning
Message: session_start(): Failed to read session data: user (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php80)
Filename: Session/Session.php
Line Number: 143
Backtrace:
File: /home/court/public_html/web/application/controllers/Posts.php
Line: 23
Function: __construct
File: /home/court/public_html/web/index.php
Line: 315
Function: require_once
Registrar: registrar@judiciaryzanzibar.go.tz | Chief Court Administrator: cca@judiciaryzanzibar.go.tz
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka Mawakili wa Serikali pamoja wa kujitegemea kuwa na mashirikiano Mahkama ili kuweza kutatua changamoto wanazokabiliana nazo kwa lengo la kuhakikisha kuwa haki kwa wananchi zinapatikana bila upendeleo wa aina yeyote.
Ameyasema hayo leo wakati alipofungua kikao cha pamoja baina ya Mawakili wa Serikali , Mawakili wa kujitegemea na Mahkama huko Afisi kwake Tunguu kikiwa na lengo la kujadiliana jinsi gani ya kuweza kuzitatua changamoto zinazowakabili na kujipanga katika mwaka 2024 ili kuona Wananchi wanapata haki zao kwa wakati.
Kwa upande wake Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka ndugu Mwanamkaa Abdurahman ameushukuru Uongozi wa Mahkama kwa kuandaa kikao hicho cha kuwakusanya pamoja wadau mbali mbali wa Mahkama kwa lengo la kutafuta njia ya kuweza kuisaidia jamii katika upatikanaji wa haki
Nae Raisi wa Chama cha Mawakili Zanzibar ndugu Masoud Lukazibwa amesema ipo haja kubwa ya kufanya vikao hivyo mara kwa mara ili kuondoa changamoto zinazowakabili na kutafuta njia mbadala ya kutatua changamoto hizo.
Kikao hicho kimewashirikisha Mahakimu, Makadhi Afisi ya Mwanasheria Mkuu, Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Pamoja na Mawakili wa kujitegemea zanzibar.
High Court, Vuga
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: info@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed
High Court, Chake-Chake
ZANZIBAR
Tel: +255 719 606 436
Email: infopemba@judiciaryzanzibar.go.tz
Monday - Friday: 07:30am - 09:30pm
Saturday & Sunday: Closed